"Sio kitu rahisi kuwa na mimi" - Posh Queen
Mlimbwende maarufu nchini Tanzania hasa katika mitandao ya kijamii, Jacline Obedi maarufu kama 'Posh Queen', ameweka wazi kuwa ni vigumu kwa wanaume kummiliki, licha ya kuwa na urembo wa kumvutia kila mmoja.