Simba kuondoka kesho na kigogo wa TFF Wachezaji wa Simba Klabu ya soka ya Simba kesho inatarajiwa kuondoka nchini kuelekea nchini Zambia ambako itacheza mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika hatua ya kwanza dhidi ya Nkanda Reds ya huko. Read more about Simba kuondoka kesho na kigogo wa TFF