BAVICHA waadhimisha Uhuru wakiwa Segerea Mwenyekiti wa BAVICHA Patrick Olesosopi, akisisitiza jambo. Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) wameadhimisha siku ya Uhuru kwa kuwatembelea viongozi wa chama hicho walioko gereza la Segerea huku wakikosoa uamuzi wa kufutwa kwa sherehe hizo. Read more about BAVICHA waadhimisha Uhuru wakiwa Segerea