BAVICHA waadhimisha Uhuru wakiwa Segerea

Mwenyekiti wa BAVICHA Patrick Olesosopi, akisisitiza jambo.

Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) wameadhimisha siku ya Uhuru kwa kuwatembelea viongozi wa chama hicho walioko gereza la Segerea huku wakikosoa uamuzi wa kufutwa kwa sherehe hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS