MVP wa Sprite Bball Kings, aweka rekodi Taifa Cup
MVP wa michuano ya Sprite Bball Kings mwaka 2018, Baraka Sadick ameendelea kuonesha ubora wake baada ya kuweka rekodi ya kufunga pointi 72 katika mchezo mmoja kitu ambacho hakijawahi kutokea katika historia ya mchezo wa kikapu nchini.