Mfumo kufunga simu feki wakabidhiwa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo ameshiriki hafla ya makabidhiano ya mfumo mpya wa uwazi wa mawasiliano ya simu (TTMS) iliyoandaliwa na mamlaka ya mawasiliano ya Tanzania TCRA.

