Sababu za Rais kutopewa hela hadharani
Huenda ukawa unajiuliza kama kuna mipaka yeyote juu ya upokeaji wa zawadi yeyote kwa watumishi wa Umma, ndiyo maana ni mara chache kuonekana hadharani wakipewa zawadi, kama pongezi binafsi au kwa majukumu aliyoyafanya.