Lema azungumzia Zitto kufuatiliwa na wasiojulikana

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe.

Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amesema juzi Jumatano Februari 6, 2019 walilazimika kumuondoa mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe baada ya kufuatiliwa na watu ambao hakuwataja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS