"Mauaji yanazorotesha uchumi" - Mkuu wa Wilaya Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri amesema kushuka kwa uzalishaji mali kwa wananchi wilayani humo hivi sasa kunasababishwa na matukio ya utekaji na mauji ya watoto yanayoendelea. Read more about "Mauaji yanazorotesha uchumi" - Mkuu wa Wilaya