Auza nyeti zake baada ya kukosa udiwani
Mwanamume mmoja aliyebwagwa kwenye kinyang’anyiro cha udiwani katika kaunti ya migori anayedai kuwa amefilisika, ametangaza kutaka kuuza nyeti zake kwa Ksh 500,000 ambazo ni sawa na zaidi ya milioni 11 za Tanzania.

