Benchi la ufundi la KMC. Wa kwanza kushoto ni kocha mkuu Etienne Ndayiragije.
Baada ya kuchaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Januari, kocha wa kikosi cha KMC, Etienne Ndayiragije, amesema kuwa malengo yao mwaka huu ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu bara.