Stars yajifungia kuivaa Senegal, hakuna kulala Mshambuliaji, Adi Yussuf (kinyozi) akiwanyoa Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kuelekea mchezo dhidi ya Senegal Timu ya Taifa 'Taifa Stars' inatarajia kushuka dimbani hii leo kuvaana na Simba wa Teranga, Senegal katika mchezo wa kwanza wa michuano ya AFCON. Read more about Stars yajifungia kuivaa Senegal, hakuna kulala