Kangi ashangazwa, waliofutiwa kesi kusota kituoni
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amefanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha Polisi Gogoni kilichopo Wilaya ya kipolisi Kimara, jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuangalia utendaji kazi vituoni hapo.