Mkurugenzi aungana na Mo Dewji Simba Mohammed Dewji Aliyekuwa mkurugenzi wa ufundi wa shirikisho la soka nchini, Ammy Ninje, amesema mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu za Tanzania unahitajika ili soka letu lipige hatua. Read more about Mkurugenzi aungana na Mo Dewji Simba