Masharti ya Dogo Janja kwa wanaotaka kolabo

Msanii wa Bongo fleva nchini Dogo Janja ametaja vigezo viwili vya msanii kupata kolabo na yeye, kwanza lazima msanii huyo awe na kipaji cha hali ya juu au itokee neema ya Mungu ndiyo ashirikiane nayeye.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS