Musonye azipiga dongo lingine Simba na Yanga

Nicholaus Musonye

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Nicholas Musonye amezijia juu kwa mara nyingine klabu za Simba na Yanga kufuatia kutohudhuria michuano ya Kagame Cup iliyomalizika hapo jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS