Waziri awapa machaguo mawili wenye roho za wizi
Waziri wa Madini Dotto Biteko, amewataka wachimbaji madini wote wasiokuwa waaminifu, waachane na kazi ya uchimbaji wa madini na badala yake, waendelee na kazi zingine kwani wizi wa madini sasa ni zilipendwa.