Ofisa wa TRA anaswa kwa kuomba rushwa ya mil 50

TAKUKURU

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilaya ya Ilala inamshikilia Ofisa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Elias Yunus (38) kwa tuhuma za kuomba rushwa ya shilingi milioni 50 kwa ahadi ya kumsaidia mfanyabiashara aliyetaka kukwepa kodi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS