Hawa ndio wafanyakazi 183 waliosimamishwa kazi Waziri wa Ardhi William Lukuvi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amewasimamisha kazi watumishi 183 wa wizara hiyo kuanzia jana Agosti 7, 2019, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakbali. Read more about Hawa ndio wafanyakazi 183 waliosimamishwa kazi