''Huu ni utamaduni mpya ambao haukubariki'' -Membe Bernard Membe Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, ameshangazwa na hatua ya Spika wa Bunge Job Ndugai, kumvua ubunge wa Singida Masharika Mh Tundu Lissu, siku ya Juni 28 mwaka huu. Read more about ''Huu ni utamaduni mpya ambao haukubariki'' -Membe