Ushahidi wa mauaji, washindwa kuteketezwa

Moja ya wahusika katika kesi hiyo ya mauaji ambaye ni mmiliki wa shule hiyo.

Uteketezwaji wa vielelezo vilivyotumika katika kesi ya mauaji, ya mwanafunzi wa shule ya Scolastica Humphrey Makundi,  umeshindwa kuteketezwa leo Julai 3, baada ya wateja upande wa mawakili watetezi kutokuwepo Mahakamani hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS