Samatta atoa ujumbe kwa watanzania baada ya AFCON Mbwana Samatta kwenye mchezo dhidi ya Algeria Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta amesema kuwa wao kama wachezaji walifurahia kupata nafasi ya kushiriki AFCON 2019 na walikuwa na lengo la kufanya vizuri. Read more about Samatta atoa ujumbe kwa watanzania baada ya AFCON