Shule ya msingi Turiani wapokea taulo za kike

Wanafunzi wa kike shule ya msingi Turiani pamoja na walimu wao wakiwa na watangazaji wa East Africa Television na East Africa Radio baada ya kupokea taulo za kike.

Katika kuhakikisha wanafunzi wa kike katika shule mbalimbali nchini wanasoma bila kupata changamoto ya kukosa masomo wakati wa hedhi, East Africa Television LTD kupitia kampeni yao ya NAMTHAMINI imeendelea kuwapatia taulo hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS