Wawili wafariki kwa kufukiwa na kifusi Wachimbaji wadogo wa madini. Picha haihusiani na habari Wachimbaji wawili wa Dhahabu katika kijiji cha Izumbi, Sangamba Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya, wamefariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo katika Mgodi wa Mwembe. Read more about Wawili wafariki kwa kufukiwa na kifusi