Dodoma : Kijana amlawiti mama yake mzazi
Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Mazengo Chati kwa kumlawiti mama yake mzazi akiwa hajitambui, katika Kijiji cha Manchali wilayani Chamwino, jambo ambalo ni kinyume kwa mujibu wa sheria za Tanzania.