''Kuna watu walianza kuomba Taifa Stars ifungwe''

Paul Makonda akiwa na kocha wa Taifa Stars Emmanuel Amunike.

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, amewataka watanzania kuacha makundi na kuwa pamoja kwenye nyakati zote hususani mambo ya kitaifa, kama ushindi wa Taifa Stars ambao sio wa Makonda peke yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS