DKT. Gwajima azindua kampeni kukabili ukatili

Kampeni ya ‘Badilika Tokomeza Ukatili’ imezinduliwa katika maandamano yaliyoongozwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dkt. Dorothy Gwajima pamoja na wananchi katika uwanja wa Mwanga Center Kigoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS