Mnada wa Mali za Mbowe wafana, wateja wajitokeza

VIFAA VYA MBOWE

Mnada wa kuuza Vifaa na samani mbalimbali vya Kampuni ya Mbowe Limited, inayomilikiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, umeonekana kufanikiwa kwa kiasi baada ya baadhi ya vifaa hivyo kununuliwa na kusalia vichache.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS