Familia ya msaidizi wa Membe yaomba msaada

Mjomba wa Allan, Samwel Ng'andu

Familia ya  msaidizi wa Bernard Membe, Allan Kiluvya anayedaiwa kutekwa usiku wa kuamkia Julai 7, imeomba msaada baada ya kufanya jitihada za kumtafuta vituo mbalimbali vya polisi jijini Dar Es Salaam bila mafanikio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS