DC atuhumiwa kuomba rushwa ya Mil 5

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, amejibu madai ya kuomba rushwa ya Mil. 5 yaliyotolewa na mmoja wa wafanyabiashara wa Hoteli za Kitalii mkoani Kilimanjaro, katika mkutano wa wadau wa Utalii mkoani humo, ambapo Sabaya mwenyewe amedai suala hilo limeanzia kwenye mgogoro wa ardhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS