Morogoro: Baba abaka na kumlawiti mwanaye

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Wilbroad Mutafungwa.

Polisi Mkoani Morogoro inamshikilia mwanaume mmoja, anayejulikana kwa jina la Said Kasti (35), kwa kosa la kumbaka na kumlawiti mwanaye wa miaka 2, katika kijiji cha Kimangakene kata ya Kiloka Wilayani Morogoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS