CAG asababisha watumishi kukatwa mishahara
Mkuu wa Mkoa Kagera, Brigedia Jenarali Marco Gaguti, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo mkoani humo, kuhakikisha inawachukulia hatua watumishi wote waliohusika na ubadhilifu wa fedha za umma katika Halmashauri, ikiwemo kuwakata mishahara yao.