Tanzania kufundisha Kichina shuleni na vyuoni

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Avemalia Semakafu na Mwalimu idara ya elimu ya sanyansi nchini China He yozhou.

Baada ya mahusiano mazuri ya kiuchumi kati Tanzania na China,  serikali kupitia  wizara ya elimu  sayansi na Teknolojia imeona umuhimu wa matumizi ya  lugha ya kichina hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS