Kabudi akanusha taarifa ya Azory Gwanda kufariki
Waziri wa Mambo ya Nje Palamagamba Kabudi, amesema hajathibitisha kuwa aliyekuwa mwandishi wa habari za uchunguzi wa gazeti la Mwananchi Azory Gwanda, kuwa amefariki Dunia na kueleza mpaka sasa vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea kuanya uchunguzi.