Ufaulu kidato cha 6, Asilimia 97.58 hadi 98.32

Katibu Mtendaji wa NECTA Dkt Charles Msonde.

Baraza la Mitihani la Taifa limetoa pongezi kwa walimu, Maafisa elimu kwa kusimamia vizuri kazi ya ufundishaji na  kufanikisha kwa kiasi kikubwa, shule zote nchini kufanya vizuri, ambapo ufaulu umeongezeka, kutoka asilimia 97.58 mwaka 2018, hadi kufikia asilimia 98.32 mwaka 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS