Watekwaji waambiwa waseme ukweli
Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu hapa nchini (THRDC), umetoa rai kwa wale wahanga wote wa utekwaji, wanapotoka hadharani na kuongea na umma waeleze kinagaubaga kilichowakuta, ili kuondoa sintofahamu miongoni mwa watu wengi.