Polisi Pwani yaua majambazi wanne Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, limefanikiwa kuua majambazi wanne katika tukio la majibizano ya risasi, baina ya polisi na majambazi hayo huko eneo la Kwala, Wilaya ya Kipolisi Mlandizi. Read more about Polisi Pwani yaua majambazi wanne