CHADEMA yatoa maagizo matatu kuhusu Halima Mdee

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kimelaani vikali kitendo kilichofanywa na Jeshi la Polisi Mjini Bukoba, kwa kumshikilia na kumnyima dhamana Mwenyekiti wa Baraza la wanawake, Halima Mdee kitendo kinachodhaniwa kuwa ni cha kuendelea kuwanyanyasa na kuwakandamiza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS