Rais Magufuli amgeukia IGP Sirro
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Julai 15, amezindua nyumba takribani 20 za Askari Polisi, eneo la Magogo Mkoani Geita, na kumtaka Kamanda wa Polisi nchini, IGP Simon Sirro kuwa mkali zaidi.