Maagizo waliyopewa askari 8 wa kesi ya madini

Miongoni mwa askari 8 walioachiwa huru pamoja na mahabusu wengine.

Mkurugenzi wa mashtaka nchini Biswalo Mganga, amefuta kesi 75 zinazowakabili mahabusu na wafungwa mbalimbali katika gereza kuu la Butimba mkoani Mwanza na kuwataka wahusika kutorudia makosa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS