Jaji mkuu awataja wanaochelewesha kesi Jaji Mkuu Ibrahimu Juma Jaji Mkuu wa Tanzania Ibrahimu Juma, amesema kumekuwa na changamoto ya watuhumiwa kukamatwa wakati upelelezi haujakamilika na kwamba kitendo hicho ni kinyume kwani kinapelekea wafungwa kujaa magerezani. Read more about Jaji mkuu awataja wanaochelewesha kesi