Jaji mkuu awataja wanaochelewesha kesi

Jaji Mkuu Ibrahimu Juma

Jaji Mkuu wa Tanzania Ibrahimu Juma, amesema kumekuwa na changamoto ya watuhumiwa kukamatwa wakati upelelezi haujakamilika na kwamba kitendo hicho ni kinyume kwani kinapelekea wafungwa kujaa magerezani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS