'Dar es salaam kumejengwa kiholela'' - Waziri Jafo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo

Idadi ya watu waishio mijini nchini Tanzania inatarajiwa kufikia milioni 45 ifikapo mwaka 2030, na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya 6 kwa ukuaji wa miji ulimwenguni,  huku Jiji la Dar es salaam, likikadiriwa kuwa na watu milioni 10 kabla ya mwaka 2035.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS