Floyd Mayweather na Manny Pacquiao wawashiana moto

Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kwenye pambano lao 2015

Mabondia wawili ambao wamekuwa wakifanya vizuri miaka ya hivi karibuni Floyd Mayweather na Manny Pacquiao, wameonesha kutofautiana huku kila mmoja akivimba juu ya mwenzake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS