''Kelele zinapunguza nguvu za kiume'' - NEMC

Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Mhandisi Samuel Mafwenga, amesema kelele zaidi ya viwango, zinasababisha upungufu wa nguvu za kiume pamoja na kuleta athari za akili na afya ya ubongo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS