NEC yashangazwa na majibu ya DED Ubungo

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Athumani Kihamia

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Athumani Kihamia, ameshangazwa na kauli  ambayo si ya kweli iliyotolewa na  Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic, baada ya kugoma kumuapisha diwani aliyeteuliwa na Tume hiyo, kwa madai ya kwamba hajapokea barua ya uthibitisho,

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS