Mabondia wawili wafariki kwa kupigwa ulingoni

Kushoto ni bondia Maxim Dadashev na kulia ni bondia Hugo Santillan.

Mchezo wa ngumi ni miongoni mwa michezo inayopendwa zaidi duniani, haswa kutokana namna inavyoweza kutengeneza majina makubwa kama ilivyowahi kuwa kwa mabondia Muhammad Ali na Mike Tyson ambao walijijengea heshima duniani kote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS