Mabondia wawili wafariki kwa kupigwa ulingoni
Mchezo wa ngumi ni miongoni mwa michezo inayopendwa zaidi duniani, haswa kutokana namna inavyoweza kutengeneza majina makubwa kama ilivyowahi kuwa kwa mabondia Muhammad Ali na Mike Tyson ambao walijijengea heshima duniani kote.