RC kuwaweka kitimoto DC Sabaya na wafanyabiashara

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira, amesema amekutana na Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na kumsikiliza dhidi ya shutma zilizotolewa na mfanyabiashara kuwa amemuomba rushwa ya shilingi milioni 5, ambapo Mghwira amewataka viongozi wabadilike.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS