RC kuwaweka kitimoto DC Sabaya na wafanyabiashara
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira, amesema amekutana na Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na kumsikiliza dhidi ya shutma zilizotolewa na mfanyabiashara kuwa amemuomba rushwa ya shilingi milioni 5, ambapo Mghwira amewataka viongozi wabadilike.