''Kaandike barua za uhamisho wapewe'' - Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa maelekezo kwa Afisa Elimu wa Wilaya ya Ruangwa anayeshughulikia Elimu ya msingi, Bw. Selemani Mrope.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amemwagiza Afisa Elimu wa Wilaya ya Ruangwa anayeshughulikia Elimu ya msingi, Bw. Selemani Mrope, atafute walimu wawili kutoka Ruangwa na kuwahamishia kata ya Nanganga mara moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS