Waziri aagiza mfanyabiashara kukamatwa

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amemuagiza Mkuu wa wilaya ya Mbozi, John Palingo, kumkamata mfanyabiashara aliyewauzia wakulima mbegu feki katika wilaya hiyo na kupelekea kuathiri mavuno kwa wakulima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS