Waziri aagiza mfanyabiashara kukamatwa Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amemuagiza Mkuu wa wilaya ya Mbozi, John Palingo, kumkamata mfanyabiashara aliyewauzia wakulima mbegu feki katika wilaya hiyo na kupelekea kuathiri mavuno kwa wakulima. Read more about Waziri aagiza mfanyabiashara kukamatwa