Sheria mpya yataka NGOs kujisajili upya

NGOs

Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kwa Kanda ya Kasikazini yaliyosajili awali chini ya sheria nyingine lakini zinafanya kazi za kijamii, yametakiwa kusajili kwa sheria ya NGOs kama ilivyofanyiwa marekebisho na sheria Na.3 ya Mwaka 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS